Friday 27 May 2016

BAFANA BAFANA: KOCHA TED DUMITRU AFARIKI DUNIA


Ted Dumitru amefariki dunia akiwa Eastgate shopping center...Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya South Africa Bafana Bafana na kocha mwenye mafanikio kuliko wote South Africa...Mara ya mwisho kabla ya kustaafu alikuwa mkurugenzi wa ufundi timu ya Premier League ya South Africa ya Mamelodi Sundowns...Alikuwa na miaka 76...Alianza kufundisha timu za South Africa mwaka 1985 akiwa na Kaizer Chiefs...Ameshinda vikombe vingi sana na Kaizer Chiefs na pia kuchukua kombe la Premiership mfululizo...Kwa jina maarufu la "The Prefessor" amesaidia Mamelodi Sundows kushinda ligi maya 2 na kuwapeleka CAF Champions League mpaka wakawa wa 2 mwaka 2011...Pumzika kwa amani kocha Dumitru...Bofya hapa upate habari zaidi

No comments:

Post a Comment