Friday 27 May 2016

KENYA: BUNGE LA KENYA LAPITISHA SHERIA KALI ZA KUZUIA MADAWA YA KUONGEZA NGUVU KWA WANARIADHA


Bunge la Kenya limepitisha Sheria kali za kujaribu kuzuia matumizi ya madawa ya kuongeza nguzu ili kunusuru kufungiwa Olympics za  Rio 2016...Pamoja na kubadilisha Sheria bado kwa kiwango cha kimataifa hakijafikiwa wasema Wada, chama cha kuzuia madawa ya kuongeza nguvu duniani...Kenya wana wanariadha mashuhuri na wengi ambao wanaweza kuleta medani ya dhahabu kama walivyo fanya mwaka 2015 katika World Athletics Championship huko Beijing China...Sheria mpya inabidi ipitishwe na Senate halafu Rais Uhuru Kenyetta aweke saini iweze kutumika...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment