Tuesday 31 May 2016

BOATENG: BEKI WA TIMU YA GERMANY JEROME BOATENG ASIKITISHWA NA KAULI YA KIBAGUZI ALIYOTOA KIONGOZI WA SIASA ZA MRENGO WA KULIA


Jerome Boateng ni mjerumani ambae baba yake anatokea Ghana ni mchezaji wa timu ya taifa ya Germany na Bayern Munich kama beki amesikitika na matamshi ya kiongozi wa siasa wa mrengo wa kulia wa chama cha AfD, Frauke Petry, ambae alisema kuwa wajerumani wengi wasingependa kuwa jirani ya Boateng...Matamshi hayo ya kibaguzi yamekasirisha watu wengi mpaka Waziri Mkuu kanena...Huyo mpuuzi ameomba radhi lakini pia amesema vibaya Mesut Ozil wakati Ozil ameenda kwenye hija huko Mecca...


Mesut Ozil akiwa Haj...
Kuna tatizo kubwa la ubaguzi nchini Ujerimani lakini watu sasa wanamwamko na tabia hizi zinapigwa vita sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment