Wednesday 25 May 2016

ARSENAL FC: ARSENAL NI TIMU YA KWANZA KUPATA £100 MILIONI KUTOKA PREMIER LEAGUE


Arsenal imeweka historia tena kwa kuwa timu ya kwanza katika premier league kuingiza £100 milioni kwenye Premier League msimu uliopita...Arsenal wamewapita Leicester waliomaliza wa kwanza na Manchester City...Kwa ujumla Arsenal wameingiza £100,952,257 na kati ya hizo zimo " facility fees" £21.5 milioni, zawadi ya kumaliza wa 2 kwenye ligi £23.6 milioni na zaidi ya £55 milioni za TV rights za nyumbani na nje ya nchi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment