Monday 30 May 2016

INDIANAPOLIS 500: ALEXANDER ROSSI ASHINDA INDY 500


Alexander Rossi ashinda Indianapolis 500...Ni shindano la 100 hapo Indianapolis kwahiyo shamrashamra zilikuwa nyingi...Rossi ameshinda shindano lake la kwanza na ni mara yake ya kwanza kushindana...


Rossi alikuwa timua ya F1 ya Marussia na sasa ni bingwa wa Indy 500 mwaka huu...Rossi ni dereva anayeendesha gari la Andretti Autosport anasema hajui jinsi walivyoshinda maana ametokea wa 11 mpaka wa 1...

Lady Gaga nae alishuhudia Indy 500. Hapa yuko na kongwe
Mario Andretti bingwa mwaka 1969 na mshindi wa
bingwa wa dunia F1 mwaka 1978

Mshindi wa 2 ni Carlos Munoz ambae pia yuko Team Andretti Autosport na wa 3 ni Joseph Newgarden...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment