Monday 23 May 2016

DIAMOND LEAGUE: SAMENYA ASHINDA MBIO ZA MITA 800


Caster Samenya mwanariadha kutoka South Africa akeshinda mbio za mita 800 zilizofanyika huko Rabat, Morocco...Ni mara ya kwanza michuani ya riadha ya Diamond League kufanyika Africa...Samenya alitumia muda ya dakika 1 na sekunde 56: 64 muda ambao ni haraka mwaka huu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment