Tuesday 3 May 2016

MADRID OPEN: FEDERER AMEJITOA KWA SABABU YA MAUMIVU YA MGONGO


Roger Federer ameamua kutoka kwenye mashindano ya Madrid Open baada ya kuumiza mgongo Jumamosi akiwa anafanya mazoezi...Hali ikiendelea poa atacheza Masters ya Rome kuanzia tarehe 9 May mpaka 15...Kwa sasa Federer ni namba 3 duniani...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment