Wednesday 4 May 2016

VPL: YANGA NJIA NYEUPE SASA


Dar es Salaam Young Africans au kwa jina maarufu Yanga wako nafasi nzuri ya kwa twaa ubingwa baada ya kushinda mechi yao dhidi ya Stand United huko uwanja wa Kambarage Shynyanga...Yanga walitupiamo magoli 3 na mabao mawili yalitoka kwa mkali Donald Ngoma na la 3 kutoka kwa Ammis Tambwe...Hali ilivo sasa ni kwamba Yanga wana points 68 na wako points 9 mbele ya Azam FC kwahiyo Yanga wakishinda mechi moja kati ya 3 zilizobaki ubingwa wao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment