Thursday 12 May 2016

YANGA: AMIS TAMBWE YUKO MBIONI KUWEKA REKODI YA MABAO


Burundi International Amis Tambwe yuko mbioni kuweka rekodi ya mabao kwa msimu huu...Tambwe anamabao 21 sasa na hat-trick 2...Mambo yanavyoenda atachukua tuzo ya mfungaji bora msimu huu...Mwaka jana tuzo hiyo ilienda kwa Simon Msuva...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment