Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 12 May 2016
YANGA: AMIS TAMBWE YUKO MBIONI KUWEKA REKODI YA MABAO
Burundi International Amis Tambwe yuko mbioni kuweka rekodi ya mabao kwa msimu huu...Tambwe anamabao 21 sasa na hat-trick 2...Mambo yanavyoenda atachukua tuzo ya mfungaji bora msimu huu...Mwaka jana tuzo hiyo ilienda kwa Simon Msuva...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment