Saturday 14 May 2016

FIFA: MWANAMKE WA KWANZA ACHAGULIWA NAFASI YA JUU FIFA


FIFA kwa mara ya kwanza wamechagua mwanamke kushika nafasi ya juu sana...Fatma Samba Diouf Samoura atakuwa Karibu Mkuu wa FIFA kuanzia June...Samoura anatokea Umoja wa Mataifa (UN) ambako amefanya kazi kwa miaka mingi...Rais wa FIFA Infantino amesema FIFA inadhamira ya kubadilika na kutokana na dhamira hiyo wamechukua mtu wa nje kabisa...Samoura yanachukua nafasi ya Jerome Valcke ambae amesimamishwa kutokana na tuhuma za rushwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment