Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the π
Showing posts with label Mecca. Show all posts
Showing posts with label Mecca. Show all posts
Wednesday, 8 March 2023
Sunday, 11 December 2022
Wednesday, 6 July 2022
Tuesday, 31 May 2016
BOATENG: BEKI WA TIMU YA GERMANY JEROME BOATENG ASIKITISHWA NA KAULI YA KIBAGUZI ALIYOTOA KIONGOZI WA SIASA ZA MRENGO WA KULIA
Jerome Boateng ni mjerumani ambae baba yake anatokea Ghana ni mchezaji wa timu ya taifa ya Germany na Bayern Munich kama beki amesikitika na matamshi ya kiongozi wa siasa wa mrengo wa kulia wa chama cha AfD, Frauke Petry, ambae alisema kuwa wajerumani wengi wasingependa kuwa jirani ya Boateng...Matamshi hayo ya kibaguzi yamekasirisha watu wengi mpaka Waziri Mkuu kanena...Huyo mpuuzi ameomba radhi lakini pia amesema vibaya Mesut Ozil wakati Ozil ameenda kwenye hija huko Mecca...
![]() |
| Mesut Ozil akiwa Haj... |
Subscribe to:
Posts (Atom)




