Sunday 10 January 2016

QATAR OPEN: DJOKOVIC KAMTANDIKA BILA UBISHI NADAL



Djokovic kati ya mechi 10 dhidi ya Nadal ameshinda mechi 9 na kati ya hizo mechi 5 ni straight sets...Bingwa Djokovic aliweza ku'break' mara mbili na kutokana na kasi na uwezo mkubwa wa tennis Nadal hakuwa na nafasi kahata kidogo ya kushinda...Nadal alichapwa 6-1 6-2...Sasa Djokovic anasubiri kuingia Australian Open ambayo itaanza tarehe 18 January...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment