Tuesday 26 January 2016

MBWANA SAMATTA: TAJIRI MOSE KATUMBI AKUBALI SAMATTA KWENDA GENK



Hatimae mwanasoka bora Afrika Mbwana Samatta amepata upenyo wa kwenda kucheza soka Ulaya ya Tajiri mkubwa sana Congo na mmiliki wa TP Mazembe Moise Katumbi kukubali offer ya KRC Genk...KRC Genk ni timu ya premiership ya Ubelgiji...Genk ni kati ya timu kubwa Ubelgiji ambayo umecheza UEFA Champions League mara 4 na EUROPA mara 6...


Hapo awali Katumbi aligoma kumwachia Samatta kwasababu pesa ya transfer ilikuwa ndogo lakini sasa amebariki move na sasa Samatta anajiandaa kwenda Ubelgiji muda wowote kuanzia sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment