Showing posts with label Samatta. Show all posts
Showing posts with label Samatta. Show all posts

Monday, 29 May 2017

MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA ATUPIA BAO LA 20 ULAYA


Mbwaba Samatta ambae ni forward wa K.R.C. Gemk na nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, au 'Stars' anaendelea vuwashangaza wazungu huko Ulaya kwa ufungaji wake hodari...

Monday, 22 August 2016

MBWANA SAMATTA: SAMATTA AIPAISHA GENK LIGI KUU YA BELIUM


Mbwana Samatta  anaendelea kutuwakilisha vyema kabisa katika ligi kuu ya Belgium kupitia club yake ya KRC Genk...Samatta alifunga mabao 2 moja sakika ya 34 na lingine dakika ya 38 katika game ya Genk dhidi ya Lokeren...Genk walishinda 3-0...Ushindi huo umeipeleka Genk nafasu ya 4 katika ligi hiyo...

Thursday, 2 June 2016

TAIFA STARS: CAPTAIN SAMATTA RETURNS HOME READY TO FACE EGYPT


Captain wa Taifa Stars Mbwana Ally Samatta ameingia jana nchini akitokea Belgium tayari kwa mechi muhimu sana ya kufuzu AFCON 2017...Mechi ya Taifa Stars na Egypt ni muhimu sana kwani toka 1980 hatujaingia fainali za African Cup of Nations na mwaka huu zitafanyika nchini Gabon...Captain Samatta amesema mechi haitokuwa rahisi kwani Egypt wako fiti balaa...Tuiombeetimu yetu iweze kufuzu AFCON 2017...Bofya hapa upate habari zaidi.                                                                                                                                                                                                                                                         

Tuesday, 26 January 2016

MBWANA SAMATTA: TAJIRI MOSE KATUMBI AKUBALI SAMATTA KWENDA GENK



Hatimae mwanasoka bora Afrika Mbwana Samatta amepata upenyo wa kwenda kucheza soka Ulaya ya Tajiri mkubwa sana Congo na mmiliki wa TP Mazembe Moise Katumbi kukubali offer ya KRC Genk...KRC Genk ni timu ya premiership ya Ubelgiji...Genk ni kati ya timu kubwa Ubelgiji ambayo umecheza UEFA Champions League mara 4 na EUROPA mara 6...


Hapo awali Katumbi aligoma kumwachia Samatta kwasababu pesa ya transfer ilikuwa ndogo lakini sasa amebariki move na sasa Samatta anajiandaa kwenda Ubelgiji muda wowote kuanzia sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 8 January 2016

CAF: WASHINDI WA TUZO MBALIMBALI ZA GLO-CAF NA 11 BORA YA AFRIKA


AFRICAN PLAYER OF THE YEAR - Pierre-Emerick AUBAMEYANG (Gabon)
AFRICAN PLAYER OF THE YEAR – BASED IN AFRICA - Mbwana Aly SAMATTA
WOMEN’S PLAYER OF THE YEAR - Gaelle ENGANAMOUIT (Cameroon)
YOUTH PLAYER OF THE YEAR - Victor OSIMHEN (Nigeria)
MOST PROMISING TALENT OF THE YEAR - Etebo Peter OGHENEKARO (Nigeria)
COACH OF THE YEAR - Herve RENARD (France) – Former Coach of Cote d’Ivoire
REFEREE OF THE YEAR - Bakary Papa GASSAMA (Gambia)
NATIONAL TEAM OF THE YEAR - Cote d’Ivoire
WOMEN’S NATIONAL TEAM OF THE YEAR - Cameroon
CLUB OF THE YEAR - TP Mazembe (DR Congo)

LEADER OF THE YEAR - Abdiqani Said Arab (Somalia)
FAIR PLAY AWARD - Allez Casa Supporters Group (Senegal)
AFRICAN LEGEND
Charles Kumi GYAMFI (Ghana)
Samuel MBAPPE LEPPE (Cameroon)

AFRICA FINEST XI
Goalkeeper:
Robert Muteba KIDIABA (DR Congo)
Defenders: Serge AURIER (Cote d’Ivoire), Aymen ABDENNOUR (Tunisia), Mohamed MEFTAH (Algeria)
Midfielders: Andre AYEW (Ghana), Yaya TOURE (Cote d’Ivoire), Sadio MANE (Senegal), Yacine BRAHIMI (Algeria),    
Forwards: Mbwana Aly SAMATTA (Tanzania), Pierre-Emerrick AUBAMEYANG (Gabon), Baghdad BOUNEDJAH (Algeria)

Substitutes
Djigui DIARRA (Mali)
Azubuike OKECHUKWU (Nigeria)
Kelechi NWAKALI (Nigeria)
Zinedine FERHAT (Algeria)
Adama TRAORE (Mali)
Victor OSIMHEN (Nigeria)
Kermit ERASMUS (South Africa)

Monday, 9 November 2015

AFRICAN CHANPIONS LEAGUE: TOUT PUISSANT MAZEMBE MABINGWA WA AFRICA KWA MARA YA 5



Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu na timu yao ya TP Mazembe wametwaa ubingwa wa Champions League baada ya kuwachapa USM Alger ya Algeria 2-0...Mabao yalitoka kwa Tanzanian International Mbwana Samatta na Ivorian International Roger Assale...Baada ya Zenadine Ferhat kumfanyia ndivyo sivyo Roger Assale dakika ya 75 Mbwana Samatta alipachika penalty safi kabisa...


Samatta kwa ujumla alifanikiwa kupata mabao 7 katika michuano hiyo mikali sana...Hongereni TP Mazembe...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 13 October 2015

MBWANA SAMATTA: NDANI YA LIST LA MCHEZAJI BORA AFRICA



Tanzanian International Mbwana Samatta amechaguliwa kwenye orodha ya wachezaji bora Africa...CAF wametoa list ya wachezaji 24 na Tanzania kwa mara ya kwanza iko kwenye list hiyo...Samatta ambae anachezea TP Mazembe ameisaidia timu hiyo kufika fainali za CAF Champions League mwaka huu na aliweza kupata mabao 6...Pia mchezaji wa Simba ameisaidia Tanzania kuwapita Malawi kwenye maandalizi ya 2018 FIFA Worod Cup...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 22 September 2015

TP MAZEMBE: MBWANA SAMATTA WA TANZANIA AWIKA



Mbwana Samatta mtazania ambae anachezea timu kubwa sana ya TP Mazembe anafanya vizuri sana...Alipata hat-trick dhidi ya Moghreb ya Morocco na kuipeleka TP Mazembe nusu fainali ya Africa's Champion League...Samatta anasema anafikiria kucheza soka Ulaya kwani watanzania wachache wameweza kujaribu kucheza Ulaya...Mwaka 2010 Haruna Moshi aliichezea timu ya Gefle IF ambayo iko kwenye premier league ya Sweden na Renatus Njohole alijitahidi sana akiwa na timu ya Uswiss ya premiership ya Yverdon Sport kati ya mwaka 1999 mpaka 2001...Samatta ambae alitokea Simba miaka 4 iliyopita anauwezo mkubwa sana kimpira na tunamuombea aendelee kuibeba bendera ya Tanzania popote atapoenda huko mbeleni...Bofya hapa upate habari zaidi.