Showing posts with label Mbwana Ally Samatta. Show all posts
Showing posts with label Mbwana Ally Samatta. Show all posts

Tuesday, 14 November 2017

MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS ANAENDELEA VIZURI BAADA YA OPERATION


Mbwana Samatta ambae ni nahodha wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, na timu ya ligi kuu ya Ubelgiji ya KRC Genk anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji...

Monday, 29 May 2017

MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA ATUPIA BAO LA 20 ULAYA


Mbwaba Samatta ambae ni forward wa K.R.C. Gemk na nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, au 'Stars' anaendelea vuwashangaza wazungu huko Ulaya kwa ufungaji wake hodari...

Wednesday, 22 March 2017

TAIFA STARS: HIMIDI MAO MKAMI NA JONAS GERALD MKUDE MANAHODHA WAPYA STARS


Kocha mkuu wa Taifa Stars, Saidi Mayanga, amewachagua Himidi Mao Mkami kutoka Azam FC na Jonas Gerald Mkude wa Simba Sports Club kuwa manahodha wasaidizi wa Taifa Stars...

Monday, 22 August 2016

MBWANA SAMATTA: SAMATTA AIPAISHA GENK LIGI KUU YA BELIUM


Mbwana Samatta  anaendelea kutuwakilisha vyema kabisa katika ligi kuu ya Belgium kupitia club yake ya KRC Genk...Samatta alifunga mabao 2 moja sakika ya 34 na lingine dakika ya 38 katika game ya Genk dhidi ya Lokeren...Genk walishinda 3-0...Ushindi huo umeipeleka Genk nafasu ya 4 katika ligi hiyo...

Sunday, 5 June 2016

AFCON 2017: EGYPT NA SENEGAL WAFUZU KUINGIA FAINALI GABON


Egypt wamefanikiwa kuingia michuano ya African Cup of Nations ambayo yatafanyika Gabon...Egypt walishinda mechi yao dhidi ya Tanzania 2-0...Mbwana Samatta alishindwa kuwaweka Tanzania sare baada ya kukosa penalty muhimu kwa kupiga juu...


Mohamed Salah winger hatari ndie alipachika mabao yote mawili...Sadio Mane winger wa Southampton  na Mame Briam Diouf striker wa Stoke City ndio walioipeleka Senegal fainali zay Afcon kwa kuwachapa Burundi 2-0...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 2 June 2016

TAIFA STARS: CAPTAIN SAMATTA RETURNS HOME READY TO FACE EGYPT


Captain wa Taifa Stars Mbwana Ally Samatta ameingia jana nchini akitokea Belgium tayari kwa mechi muhimu sana ya kufuzu AFCON 2017...Mechi ya Taifa Stars na Egypt ni muhimu sana kwani toka 1980 hatujaingia fainali za African Cup of Nations na mwaka huu zitafanyika nchini Gabon...Captain Samatta amesema mechi haitokuwa rahisi kwani Egypt wako fiti balaa...Tuiombeetimu yetu iweze kufuzu AFCON 2017...Bofya hapa upate habari zaidi.