Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Mbwana Ally Samatta. Show all posts
Showing posts with label Mbwana Ally Samatta. Show all posts
Wednesday, 8 July 2026
Friday, 4 June 2021
Saturday, 29 February 2020
Wednesday, 6 November 2019
Thursday, 24 October 2019
Wednesday, 23 October 2019
Thursday, 3 October 2019
Friday, 24 May 2019
Tuesday, 14 November 2017
MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS ANAENDELEA VIZURI BAADA YA OPERATION
Mbwana Samatta ambae ni nahodha wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, na timu ya ligi kuu ya Ubelgiji ya KRC Genk anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji...
Monday, 29 May 2017
MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA ATUPIA BAO LA 20 ULAYA
Mbwaba Samatta ambae ni forward wa K.R.C. Gemk na nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, au 'Stars' anaendelea vuwashangaza wazungu huko Ulaya kwa ufungaji wake hodari...
Wednesday, 22 March 2017
TAIFA STARS: HIMIDI MAO MKAMI NA JONAS GERALD MKUDE MANAHODHA WAPYA STARS
Kocha mkuu wa Taifa Stars, Saidi Mayanga, amewachagua Himidi Mao Mkami kutoka Azam FC na Jonas Gerald Mkude wa Simba Sports Club kuwa manahodha wasaidizi wa Taifa Stars...
Tuesday, 14 March 2017
MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA AENDELEZA LIBENEKE UBELGIJI
Mbwana Samatta ambae ni nahodha wa Taifa Stars anaendelea kufurahisha mashabiki wake kwa uwezo wake wa kufunga mabao...
Friday, 10 March 2017
EUROPA LEAGUE: K.R.C. GENK YAFANYA MAUAJI HUKU MBWANA SAMATTA AKITUPIA BAO 2
Katika mchezo wa Europa League round ya 16 K.R.C. Genk ya Ubelgiji imeichapa KAA Gent mabao 5-2 ndani ya uwanja wa Ghelamco Arena huko Gent...
Monday, 6 March 2017
Monday, 17 October 2016
CAF: MBWANA SAMATTA HAS BEEN LISTED AS A NOMINEE OF THE AFRICAN PLAYER OF THE YEAR AWARD
Tanzanian international Mbwana Samatta has been nominated to contest for the CAF African Player of the Year Award...
Monday, 22 August 2016
MBWANA SAMATTA: SAMATTA AIPAISHA GENK LIGI KUU YA BELIUM
Sunday, 5 June 2016
AFCON 2017: EGYPT NA SENEGAL WAFUZU KUINGIA FAINALI GABON
Egypt wamefanikiwa kuingia michuano ya African Cup of Nations ambayo yatafanyika Gabon...Egypt walishinda mechi yao dhidi ya Tanzania 2-0...Mbwana Samatta alishindwa kuwaweka Tanzania sare baada ya kukosa penalty muhimu kwa kupiga juu...
Mohamed Salah winger hatari ndie alipachika mabao yote mawili...Sadio Mane winger wa Southampton na Mame Briam Diouf striker wa Stoke City ndio walioipeleka Senegal fainali zay Afcon kwa kuwachapa Burundi 2-0...Bofya hapa upate habari zaidi.
Thursday, 2 June 2016
TAIFA STARS: CAPTAIN SAMATTA RETURNS HOME READY TO FACE EGYPT
Captain wa Taifa Stars Mbwana Ally Samatta ameingia jana nchini akitokea Belgium tayari kwa mechi muhimu sana ya kufuzu AFCON 2017...Mechi ya Taifa Stars na Egypt ni muhimu sana kwani toka 1980 hatujaingia fainali za African Cup of Nations na mwaka huu zitafanyika nchini Gabon...Captain Samatta amesema mechi haitokuwa rahisi kwani Egypt wako fiti balaa...Tuiombeetimu yetu iweze kufuzu AFCON 2017...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)













