Monday 22 August 2016

MBWANA SAMATTA: SAMATTA AIPAISHA GENK LIGI KUU YA BELIUM


Mbwana Samatta  anaendelea kutuwakilisha vyema kabisa katika ligi kuu ya Belgium kupitia club yake ya KRC Genk...Samatta alifunga mabao 2 moja sakika ya 34 na lingine dakika ya 38 katika game ya Genk dhidi ya Lokeren...Genk walishinda 3-0...Ushindi huo umeipeleka Genk nafasu ya 4 katika ligi hiyo...

No comments:

Post a Comment