Tuesday 9 August 2016

RIO 2016: BRAZIL YASHINDA DHAHABU YA KWANZA KUPITIA MCHEZAJI WA JUDO RAFAELA SILVA


Judoka, Rafaela Silva, ameshinda medani ya dhahabu ya kwanza kwa Brazil...Rafaela Silva ametokea uswazi au kwa jina maarufu huko brazil favela mpaka kuwa bingwa wa judoka...Rafaela ametokea eneo la 'City of God' ambalo ni la watu wa chini na lina watu wengi sana na maisha magumu sana...


Kwa mara ya kwanza Olympics inafanyika South America na Brazil ni sehemu muhimu sana kwani ni nchi yenye utajiri mkubwa lakini tofauti ya maskini na tajiri ni kubwa sana...


Rafaela alifanikiwa kumtoa namba 1 duniani katika uzito wa 57kg Judo, Sumiya Dorjsuren, anayetokea Mongolia...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment