Monday 22 August 2016

AFRICAN YOUTH CHAMPIONSHIP: SERENGETI BOYS YASONGA MBELE KWA KUICHAPA AMAJIMBOS 2-0


Serengeti Boys wamefanikiwa kusonga mbele ya michuani ya vijana ya Afrika (African Youth Championship)...Serengeti Boywa sasa wameingia mzunguko wa mwisho wa kufuzu michuao hiyo...Vijana wa Bakari Shime, Mohamed Abdallah na Muhsin Makame, ndio walio waliopachika mabao moja kabla y amapumziko na lingine baada ya mapumziko...Serengeti sasa watakutana na Congo au Namibia katika mzunguko huo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment