Monday 8 August 2016

INTER MILAN: FRANK DE BOER KOCHA ACHUKUA NAFASI YA MANCINI


Inter Milan wameaachana na Roberto Mancini na sasa wameamua kumchukua boss wa Ajax wa zamani Frank de Boer...Mancini anaondoka kutokana na utata kwenye usajili wa wachezaji...Inter ambao wamenunuliwa na kampuni ya China ya Suning walichapwa 6-1 na Tottenham hivi karibuni kwenye mechi ya kirafiki...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment