Monday 15 August 2016

EPL: LIVERPOOL YAIBUKA MSHINDI DHIDI YA ARSENAL KATIKA GAME KALI SANA YA MWANZO WA LIGI


Liverpool wamefanikiwa kiwafunga Arsenal 4-3 katika mechi kali sana ya kufungua msimu ndani ya Emirates...Arsenal ndio walioanza kuonyesha makeke mpaka kipindi cha 2 lakini baada ya hapo Liverpool walikuja na cheche kali za ziada...


Theo Walcott ndio aliyeanza kuona lango la Liverpool mapema dakika ya 31 baada ya Arsenal kukosa penalty...Wengine waliopata mabao ni Coutinho dakika ya 45+1 na 56, Lallana dakika ya 49, Sadio Mane dakika ya 63, Oxlade-Chambelain dakika ya 64 na Chambers dakika ya 75...


Arsenal inaonekana beki bado haiko sawasawa kabisa na Wenger inabidi atafute watu wenye uzoefu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment