Monday 15 August 2016

RIO 2016: WAYDE VAN NIERKERK AVUNJA REKODI YA MICHAEL JOHNSON YA MIAKA 17


Wayde van Niekerk kutoka South Africa amevunja rekoda ya dunia ya mita 400 kwenye Olympics za Rio...Niekerk amevunja rekodi ya mmarekani Michael Johnson ambae imedumu kwa miaka 17...Niekerk ametumia muda wa sekunde 43:03 na ni sekunde 0:15 mbele ya muda wa Johnson...Bofya hapa upate babari zaidi.

No comments:

Post a Comment