Tuesday 9 August 2016

MANCHESTER CITY: BEKI JOHN STONES NDANI YA CITY


Beki wa Everton John Stones ameingia Manchester City kwa dau la pounds milioni 47.5...Stones amekuwa beki wa 2 wa bei mbaya kuliko wote...England international mwenye umri wa miaka 22 amesaini mkataba wa miaka 6 na City...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment