Tuesday 16 August 2016

MANCHESTER CITY: HART KUFIKIRIA MAISHA YA MBELE BAADA YA KUTEMWA NA PEP GUARDIOLA


Baada ya kutemwa na Pep Guardiola sasa Joe Hart anafikiria maisha mengine baada ya hapo...Pep memtema Hart kutokana na mahusiano yao kutokua mazuri...Manchester City wanaingia uwanjani huko Romania na Steaua Bucharest katika mechi ya Champions League....Pep amemtema Yaya kwa mechi hii muhimu sana kwa City...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment