Friday 12 August 2016

RIO 2016: KOCHA WA KENYA ATILULIWA KWA KUTUMIA VITAMBULISHO VYA FERGUSON ROTICH


Kenya imejikuta kwenye vyombo vya habari ikiongelewa vibaya tena baada ya kocha John Anzra kurudishwa nyumbani kutokana na kujifanya yeye ni mwanariadha wa mita 800 Ferguson Rotich...Alikutwa anatumia vitambulisho vya huyo Rotich akijifanya yeye ndio Rotich...Ni shida sana kwa wanariadha wazuri wa Kenya kwani wanapewa sifa mbaya kwasababu ya wajinga wachache...Rotich yuko tayari kukimbia katika mashindano ya riadha leo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment