Monday 8 August 2016

BOXING: ANDRE WARD AMCHAPA ALEXANDER BRAND KWA POINTS


Andre Ward (30-0) amchapa Alexander Brand na kuchukua ubingwa wa WBO Intercontinental Lightweight ndani ya jiji la California...Ward ambae ahawahi kuchapwa alikuwa na wakati mrahisi kuzichapa na Brand (25-2)...Brand anayetokea Colombia alikuwa hajawahi kuchapwa toka 2012...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment