Showing posts with label Rio 2016. Show all posts
Showing posts with label Rio 2016. Show all posts

Thursday, 15 September 2016

WORLD ANTI-DOPING AGENCY: FURY OVER LEAKED DOCUMENTS BY "RUSSIAN" HACKERS


World Anti-Doping Agency is furious about leaked confidential information about Simone Biles, Serena and Venus Williams...There was a breach in the WADA's Administration and Management Systems (ADAMS) database and the confidential material was published...


WADA accuses a cyber "espionage" group called Fancy Bear or Tsar Team (APT28) for the breach...


Apart from the William sisters and Biles, Ellena Delle Donne a US basketball player's records were released as well...On the Fance Bears site they wrote "played well but not fair"...



Nothing serious about the information published nonetheless it shows that they are exempt from certain drugs for legit reasons.

Wednesday, 31 August 2016

NIGERIA: OBI MIKEL HAPPY VICTOR MOSES IS BACK READY FOR THEIR GAME WITH TANZANIA


Obi Mickel captained Nigeria U-23 very well to a Bronze medal finish in the Rio 2016 Olympics and now Nigerian international Victor Moses is back at the Eagles side ready to face Tanzania on Saturday for the Africa Cup of Nations 2017 qualifier in Uyo...Eagles are playing a friendly game today against Akwa United at the Godswill Akpabio Stadium.

Thursday, 18 August 2016

RIO 2016: ELAINE THOMPSON ASHINDA MBIO ZA 200M


Jamaica yaibuka tena na medani nyingine na sasa ni mbio za mita 200 wanawake...Elaine Thompson ameshinda mbio za mita 200 kwa kuwashinda bingwa Dafne Shippers kutoka Netherlands na Tori Bowie kutoka USA...Thompson alitumia mida wa sekunde 21:78 na Tori Bowie alitumia muda wa sekunde 22:15...Thompson amesema amefurahi sasa jina lake liko juu pamoja na wenzake kutoka Jamaica Shelly-Ann Pryce na Veronica Campbell-Brown...Bofya hapa upate haabri zaidi.

Wednesday, 17 August 2016

RIO 2016: OMAR MCLEOD AWEKA HISTORIA YA KUWA MTU WA KWANZA KUTOKA JAMAICA KUSHINDA MBIO ZA VIHUNZI ZA 110M


Omar McLeod kutoka Jamaica ameshinda mbio za mita 110 za vihunzi na kuwa mtu wa kwanza kutoka Jamaica kushinda mbio hizo...Aliwapita Orlando Ortega mzaliwa wa Cuba lakini anatokea Spain na Dimitri Bascou kutoka France...McLeod alitumia muda wa sekunde 13:05...Mkali mwingine Devon Allen alimaliza mbio hizo nafasi ya 5...Bofya hapa upate habari zaidi.

RIO 2016: OMAR MCLEOD AWEKA HISTORIA YA KUWA MTU WA KWANZA KUTOKA JAMAICA KUSHINDA MBIO ZA VIHUNZI ZA 110M


Omar McLeod kutoka Jamaica ameshinda mbio za mita 110 za vihunzi na kuwa mtu wa kwanza kutoka Jamaica kushinda mbio hizo...Aliwapita Orlando Ortega mzaliwa wa Cuba lakini anatokea Spain na Dimitri Bascou kutoka France...McLeod alitumia muda wa sekunde 13:05...Mkali mwingine Devon Allen alimaliza mbio hizo nafasi ya 5...Bofya hapa upate habari zaidi.

RIO 2016: KIPYEGON AMPITA DIBABA NA KUSHINDA MBIO ZA WANAWAKE ZA 1,500M


Faith Kipyegon kutoka Kenya amefanikiwa kumpita bingwa wa zamani wa mita 1,500 Genzebe Dibaba kutoka Ethiopia  na kushinda medani ya dhahabu ya Rio Olympics...Kipyegon alikuwa nyuma lakini ilipifika nusu alichomoza na kumwacha bingwa Dibaba nyuma mpaka mwisho...Muda ya Kipyegon ni wa kasi kuliko wote duniani mwaka huu...Dibaba alishinda medani ya Silver na bingwa mwingine wa zamani Jenny Simpson amechukua Bronze...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 16 August 2016

RIO 2016: JEMIMA SUMGONG KUTOKA KENYA ACHUKUA DHAHABU YA MARATHON


Jemima Sungong amekuwa mwanariadha wa kwanza kutoka Kenya kushinda medani ya dhahabu...Sumgong alimshinda Eunice Kirwa kutoka Bahrain...Bingwa wa Ethiopia Mare Dibaba alimaliza nafasi ya 3...Sumgong aliwahi kushinda London Marathon alitumia muda wa saa 2 na dakika 24 sekunde 4...Safi sana Sumgong na hongera kwa kuweka historia huko Rio.

Monday, 15 August 2016

RIO 2016: WAYDE VAN NIERKERK AVUNJA REKODI YA MICHAEL JOHNSON YA MIAKA 17


Wayde van Niekerk kutoka South Africa amevunja rekoda ya dunia ya mita 400 kwenye Olympics za Rio...Niekerk amevunja rekodi ya mmarekani Michael Johnson ambae imedumu kwa miaka 17...Niekerk ametumia muda wa sekunde 43:03 na ni sekunde 0:15 mbele ya muda wa Johnson...Bofya hapa upate babari zaidi.

Friday, 12 August 2016

RIO 2016: KOCHA WA KENYA ATILULIWA KWA KUTUMIA VITAMBULISHO VYA FERGUSON ROTICH


Kenya imejikuta kwenye vyombo vya habari ikiongelewa vibaya tena baada ya kocha John Anzra kurudishwa nyumbani kutokana na kujifanya yeye ni mwanariadha wa mita 800 Ferguson Rotich...Alikutwa anatumia vitambulisho vya huyo Rotich akijifanya yeye ndio Rotich...Ni shida sana kwa wanariadha wazuri wa Kenya kwani wanapewa sifa mbaya kwasababu ya wajinga wachache...Rotich yuko tayari kukimbia katika mashindano ya riadha leo...Bofya hapa upate habari zaidi.

RIO 2016: MTANZANIA HILAL HEMED HILAL AMEJITAHIDI SANA KWENYE SHINDANO LA SWIMMING


Hilal Hemed Hilal ametuwakilisha vyema kwenye mashindano ya swimming huko Rio de Jenairo kwa kushinda heat ya 4 na kuweka rekodi yake binafsi na ya nchi ya muda wa 23:70...Walikuwa washindani 8 katika heat ya 4 na Hilal akaibuka wa kwanza kabisa...Bado tuna matumaini ya kupata medani lakini kwa sasa tusubiri kidogo...Pongezi sana Hilal Hemed Hilal...Bofya haha upate kuangalia jinsi Hilal alivyoshinda heat ya 4.

Tuesday, 9 August 2016

RIO 2016: BRAZIL YASHINDA DHAHABU YA KWANZA KUPITIA MCHEZAJI WA JUDO RAFAELA SILVA


Judoka, Rafaela Silva, ameshinda medani ya dhahabu ya kwanza kwa Brazil...Rafaela Silva ametokea uswazi au kwa jina maarufu huko brazil favela mpaka kuwa bingwa wa judoka...Rafaela ametokea eneo la 'City of God' ambalo ni la watu wa chini na lina watu wengi sana na maisha magumu sana...


Kwa mara ya kwanza Olympics inafanyika South America na Brazil ni sehemu muhimu sana kwani ni nchi yenye utajiri mkubwa lakini tofauti ya maskini na tajiri ni kubwa sana...


Rafaela alifanikiwa kumtoa namba 1 duniani katika uzito wa 57kg Judo, Sumiya Dorjsuren, anayetokea Mongolia...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 8 August 2016

RIO 2016: MICHAEL PHELPS ASHINDA DHAHABU YA 19


Michael Phelps ameshinda medani yake ya 19 wakati timu US ilivoshinda mita 400 relay ya freestyle...Phelps amekuwa mwakilishi mzuri wa swiiming wa US na sasa ameweza kuongeza medani ya dhahabu kwenye collection yake...Toka Olympics za London 2012 Phepls alikutwa na mikasa kibao hapo kati na sasa amejipanga na kurusia hali yake ya ushindi...Bofya hapa upate habari zaidi.

RIO 2016: KATIE LEDECKY AVUNJA REKODI YAKE YA DUNIA


Katie Ledecky amevunja rekodi yake ya dunia ya mita 400 freestyle kwa sekunde 2...


Mmarekani huyu akukwa mbio sana katika kuogelea na alimaliza kwa muda ya 3:56:49...Bofya hapa upate habari zaidi.