Showing posts with label Dibaba. Show all posts
Showing posts with label Dibaba. Show all posts

Wednesday, 17 August 2016

RIO 2016: GENZEBE DIBABA ASEMA YEYE NI MSAFI SANA MITHILI YA GLASS ZA MVINYO


Genzebe Dibaba mshindi wa 2 katika mbio za mita 1,500 akihojiwa na waandishi wa habari kuhusu kukamatea wa kocha wake huko Spain na kuwekwa ndani siku taku kwasababu ya kusambaza madawa ya kuongeza nguvu amesema yeye ni msafi sana mithili ya glass ya mvinyo...Kocha huyo, Jama Aden, ameachiwa huru lakini bado uchunguzi unaendelea na haruhusiwi kutoka Spain...Dibaba amesema uvumi kuwa anatumia madawa unamsumbia sana kisaikolojia na kuwa aliwasiliana na kocha huyo kupata ushauri wa kitaalam tu...Bofya hapa upate bahari zaidi.

RIO 2016: KIPYEGON AMPITA DIBABA NA KUSHINDA MBIO ZA WANAWAKE ZA 1,500M


Faith Kipyegon kutoka Kenya amefanikiwa kumpita bingwa wa zamani wa mita 1,500 Genzebe Dibaba kutoka Ethiopia  na kushinda medani ya dhahabu ya Rio Olympics...Kipyegon alikuwa nyuma lakini ilipifika nusu alichomoza na kumwacha bingwa Dibaba nyuma mpaka mwisho...Muda ya Kipyegon ni wa kasi kuliko wote duniani mwaka huu...Dibaba alishinda medani ya Silver na bingwa mwingine wa zamani Jenny Simpson amechukua Bronze...Bofya hapa upate habari zaidi.