Showing posts with label Serengeti Boys. Show all posts
Showing posts with label Serengeti Boys. Show all posts

Monday, 1 May 2017

Monday, 19 September 2016

CAF U-17 CUP OF NATIONS: SERENGETI BOYS YAITANDIKA CONGO 3-2


Timu ya taifa ya Vijana ya U-17, Serengeti Boys, imefanikiwa kuwachapa Congo Brazzaville mabao 3-2 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam...Serengeti Boys wako mbio kuwania ticket ya kushiriki Madagascar 2017...Mashindani ya Mataifa ya Afrika yatafanyika nchini Madagascar mwaka ujao...Yohana Mkomola ndie aliyepachika mabao mawili kipindi cha kwanza na kipindi cha pili alifunga Issa Makamba...Serengeti Boys wakifanikiwa kuwatoa Congo mechi ya marudiano watafuzu kuingia Madagascar.

Monday, 22 August 2016

AFRICAN YOUTH CHAMPIONSHIP: SERENGETI BOYS YASONGA MBELE KWA KUICHAPA AMAJIMBOS 2-0


Serengeti Boys wamefanikiwa kusonga mbele ya michuani ya vijana ya Afrika (African Youth Championship)...Serengeti Boywa sasa wameingia mzunguko wa mwisho wa kufuzu michuao hiyo...Vijana wa Bakari Shime, Mohamed Abdallah na Muhsin Makame, ndio walio waliopachika mabao moja kabla y amapumziko na lingine baada ya mapumziko...Serengeti sasa watakutana na Congo au Namibia katika mzunguko huo...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 8 August 2016

SERENGETI BOYS: AMAJIMBOS YASHIKWA SHATI NA SERENGETI BOYS


Amajimbos wametoka sare ya 1-1 na Serengeti Boys katika mechi kali iliyofanyika katika uwanja wa Dobsonville South Africa...Serengeti walikuwa makini na waliweza kuwa na mbio wakati wa counter-attacks...Serengeti walikosa mabao kibao na kubaki kjiuliza maswali kibao...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 4 August 2016

AFRICAN YOUTH CHAMPIONCHIP 2017: SERENGETI BOYS WAINGIA SOUTH AFRICA TAYARI KUCHUANA NA AMAJIMBOS



Serengeti Boys wamazama South Africa kukutana na Amajimbos Jumamosi...Serengeti boys wanatokea Antananarivo Madagascar ambapo walipata ushindi wa mabao 2-0 huko na sasa inabidi wawafunge Amajimbos ili waweze kuingia round ya 3...Baada ya game ya Jumamosi watarudiana hapa nyumbani ndani ya Azam Complex baada ya wiki mbili...


Serengeti boys walipata nafasi ya kucheza na Amajimbos baada ya kuwagaragaza vibaya saya Seychelles kwa aggragate ya 9-0...Bofya hapa ypate habari zaidi.

Wednesday, 18 May 2016

AIFF YOUTH CUP: TANZANIA YAWACHAPA WENYEJI INDIA 3-1


Tanzania wamewagaragaza vibaya sana India katika michuano mikali ya vijana ya AIFF Youth Cup 2016 huko India...Tanzania tulishinda 3-1 na sasa tuna points 4 na India nao kwa ujumla wana point 1...Dakika ya 20 tu vijana walifanya mambo kwa kutumia mchezo wa akili na mipira ya juu kuwachanganya India...India walijichanganya sana midfield na vijana wetu wakawa na ball control safi kuzidi wenyeji...Bofya hapa upate habari zaidi.