Monday 8 August 2016

SERENGETI BOYS: AMAJIMBOS YASHIKWA SHATI NA SERENGETI BOYS


Amajimbos wametoka sare ya 1-1 na Serengeti Boys katika mechi kali iliyofanyika katika uwanja wa Dobsonville South Africa...Serengeti walikuwa makini na waliweza kuwa na mbio wakati wa counter-attacks...Serengeti walikosa mabao kibao na kubaki kjiuliza maswali kibao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment