Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 8 August 2016
SERENGETI BOYS: AMAJIMBOS YASHIKWA SHATI NA SERENGETI BOYS
Amajimbos wametoka sare ya 1-1 na Serengeti Boys katika mechi kali iliyofanyika katika uwanja wa Dobsonville South Africa...Serengeti walikuwa makini na waliweza kuwa na mbio wakati wa counter-attacks...Serengeti walikosa mabao kibao na kubaki kjiuliza maswali kibao...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment