Mbwana Samatta ambae ni nahodha wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, na timu ya ligi kuu ya Ubelgiji ya KRC Genk anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Ubelgiji. Show all posts
Showing posts with label Ubelgiji. Show all posts
Tuesday, 14 November 2017
MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS ANAENDELEA VIZURI BAADA YA OPERATION
Mbwana Samatta ambae ni nahodha wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, na timu ya ligi kuu ya Ubelgiji ya KRC Genk anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji...
Tuesday, 14 March 2017
MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA AENDELEZA LIBENEKE UBELGIJI
Mbwana Samatta ambae ni nahodha wa Taifa Stars anaendelea kufurahisha mashabiki wake kwa uwezo wake wa kufunga mabao...
Saturday, 30 January 2016
K.R.C. GENK: MBWANA SAMATTA AINGIA RASMI GENK
Mbwana Samatta amesajiliwa rasmi na timu ya K.R.C. Genk ambayo iko nafasi ya 6 sasa kwenye Belgian Pro League...Samatta ni mwanasoka bora Afrika na Tanzania tunajivunia kuwa na kifaa kikali sana...Samatta ametokea timu ya TP Mazembe na huko alikuwa mchezaji bora...Amewahi kuichezea Simba hapo nyuma...Kila la heri Mbwana Samatta katika maisha ya soka Ulaya...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 26 January 2016
MBWANA SAMATTA: TAJIRI MOSE KATUMBI AKUBALI SAMATTA KWENDA GENK
Hatimae mwanasoka bora Afrika Mbwana Samatta amepata upenyo wa kwenda kucheza soka Ulaya ya Tajiri mkubwa sana Congo na mmiliki wa TP Mazembe Moise Katumbi kukubali offer ya KRC Genk...KRC Genk ni timu ya premiership ya Ubelgiji...Genk ni kati ya timu kubwa Ubelgiji ambayo umecheza UEFA Champions League mara 4 na EUROPA mara 6...
Hapo awali Katumbi aligoma kumwachia Samatta kwasababu pesa ya transfer ilikuwa ndogo lakini sasa amebariki move na sasa Samatta anajiandaa kwenda Ubelgiji muda wowote kuanzia sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)




