Tuesday 13 October 2015

MBWANA SAMATTA: NDANI YA LIST LA MCHEZAJI BORA AFRICA



Tanzanian International Mbwana Samatta amechaguliwa kwenye orodha ya wachezaji bora Africa...CAF wametoa list ya wachezaji 24 na Tanzania kwa mara ya kwanza iko kwenye list hiyo...Samatta ambae anachezea TP Mazembe ameisaidia timu hiyo kufika fainali za CAF Champions League mwaka huu na aliweza kupata mabao 6...Pia mchezaji wa Simba ameisaidia Tanzania kuwapita Malawi kwenye maandalizi ya 2018 FIFA Worod Cup...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment