Thursday 1 October 2015

CHAMPIONS LEAGUE: MAN U WACHOMOA


Manchester United wamefanikiwa kushinda mechi yao ngumu dhidi ya VfL Wolfsburg 2-1...Bao la kwanza lilikuja mapema sana kwenye dakika ya 4 kupitia Daniel Caligiuri ambapo zilipigwa pasi kama 6 hivi...Mata alisawazisha baada ya Caligiuri kuunawa mpiwa dakika ya 34...Mnamo dakika ya 54 Mata akimpa pande Smalling na hakufanya kosa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment