Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 1 October 2015
CHAMPIONS LEAGUE: MAN U WACHOMOA
Manchester United wamefanikiwa kushinda mechi yao ngumu dhidi ya VfL Wolfsburg 2-1...Bao la kwanza lilikuja mapema sana kwenye dakika ya 4 kupitia Daniel Caligiuri ambapo zilipigwa pasi kama 6 hivi...Mata alisawazisha baada ya Caligiuri kuunawa mpiwa dakika ya 34...Mnamo dakika ya 54 Mata akimpa pande Smalling na hakufanya kosa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment