Sunday 18 October 2015

RUGBY WORLD CUP 2015: AUSTRALIA YASHINDA MECHI KALI DHIDI YA SCOTLAND


Australia wameshinda mechi kali na muhimu ya robo fainali ya Rugby dhidi ya Scotland...Australia walishinda 35-34 kupitia mpira wa penalty ya utata dakika ya mwisho kabisa kupitia kwa Bernard Foley...



Intetception ya Mark Bennet wakati imebakia dakika 7 tu ilikuwa imewaweka Scotland mbele lakini mambo yaliibadilika muda si mrefu... Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment