Saturday 31 October 2015

VODACOM PREMIER LEAGUE: AZAM KILELENI BAADA YA KUICHAPA JKT RUVU


Azam imefanikiwa kuipita Yanga na kukaa kileleni baada ya kuichapa JKT Ruvu 4-2 ndani ya uwanja wa Karume...Ilichukua dakika 7 tu kupitia Didier Kavumbagu na John Bocco kuiweka Azam mbele lakini badae Najim Magulu alipata bao kabla ya half-time...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment