Sunday 11 October 2015

F1: LEWIS HAMILTON AMESOGEA KARIBU NA UBINGWA BAADA YA USHINDI RUSSIA


Lewis Hamilton ameshinda Russian GP na sasa yuko karibu na ubingwa wa mashindano haya makali ya magari ya formula one...Hamilton alikuwa wa pili nyuma ya mwenzake Nico Rosberg lakini badae Rosberg alipata matatizo ya gari yake...Sebastian Vettel wa Ferrari alichukua nafasi ya 2...Sergio Perez wa Force India alichukua nafasi ya 3 baada ya Kimi Raikkonen wa Ferrari kugongana vibaya na Valtteri Bottas kwenye lap ya mwisho...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment