Sunday 11 October 2015

TAIFA STARS: MALAWI WASHINDA 1


Taifa Stars leo wamechapwa 1 na Malawi ndani ya jiji la Blantire leo...Pamoja na kuchapwa tunasonga mbele kwani tulishinda 2-0 kwenye mechi ya awali nyumbani...Kazi kubwa iko tukipambana na timu kali ya Algeria katika mechi ijayo...Tanzania tulianza kwa kushambulia lakini mashambulizi hayakuzaa matunda na Malawi nao walishambulia na hatimaye wakapata bao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment