Wednesday 7 October 2015

TAIFA STARS: STARS KUPIMANA NGUVU NA MALAWI LEO



Katika maandalizi ya 2018 World Cup abayo yatafanyika nchini Urusi timu ya taifa ya Tanzania itaingia uwanjani na timu ya taifa ya Malawi leo...Stars iko chini ya kocha mashuhuri Boniface Mkwasa ambae amesema ni lazima tushinde mechi ya nyumbani...Vinara wa soka Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wameingia kambini jumatatu tayari kwa mechi hii muhimu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment