Thursday 8 October 2015

2018 FIFA WORLD CUP RUSSIA: TANZANIA YAICHAPA MALAWI 2-0



Taifa Stars jana ilifurahisha mashabiki wa soka nchini kwa ushindi wa dhidi ya Flames ya Malawi 2-0...Chini ya kocha mzawa na mashuhuri Charles Boniface Mkwasa timu ya taifa iliweza kumaliza mabao yote kipindi cha kwanza kupitia star Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu...Taifa Stars wataingia jijini Blantyre tayari kwa mechi Jumapili ijayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment