Kocha mpya wa timu ya Merseyside Jurgen Klopp amesema kazi yake mpya nikazi ngumu katika ulimwengu wa mpira duniani...Klopp ameingia Liverpool kwa mkataba wa miaka 3 na atalipwa milioni 15 pounds za Uingereza...Klopp akiongea na LFCTV amesema yeye sio mtu wa vitu rahisi kwahio kazi mpya ni changamoto kubwa kwake...Bofya hapa upate habari zaidi.
No comments:
Post a Comment