Friday 9 October 2015

LIVERPOOL: KLOPP ASEMA KAZI YAKE MPYA SIO RAHISI


Kocha mpya wa timu ya Merseyside Jurgen Klopp amesema kazi yake mpya nikazi ngumu katika ulimwengu wa mpira duniani...Klopp ameingia Liverpool kwa mkataba wa miaka 3 na atalipwa milioni 15 pounds za Uingereza...Klopp akiongea na LFCTV amesema yeye sio mtu wa vitu rahisi kwahio kazi mpya ni changamoto kubwa kwake...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment