Tuesday 20 October 2015

RUGBY WORLD CUP 2015: REFA ALIKOSEA KUTOA PENALTY YA SCOTLAND



Refa aliyesimamia mechi kati ya Australia na Scotland alikosea kutoa penalty mwishoni kabisa...World Rugby walisema refa huyo ambae ni Craig Joubert alikosea kutoa penalty na angetoa Scrum kwa Australia baada ya Nick Phipps kugusa mpira awali...Scotland walifungwa 35-34...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment