Monday 12 October 2015

NFL: GIANTS YAFANYA MAMBO MWISHONI


New York Giants quarter ya 4 waliweza kuwafunga San Fransisco 49ers baada ya Eli Manning kurusha mpira yadi 82 mbali ndani ya eneo la maadui zao na kudakwa na Larry Donnell na kushinda 30-27...Giants hawakuamini kwani wide receiver wao Odell Beckham Jr. alikuwa nje kwa majeraha na walikuwa wanajua hawana receiver mkali ndani...Giants sasa wanaongoza NFC East (3-2)...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment