Wednesday 14 October 2015

NBA: LAMAR ODOM AKUTWA AMEZIMIA NDANI YA DANGURO


Lamar Odom mchezaji wa zamani wa LA Lakers amekutwa amezimia akiwa ndani ya danguro jijini Las Vegas...Habari zinazotoka huko zinasema alikutwa kifudifudi na alipogeuzwa alitapika sana...Polisi waliitwa eneo la tukio na pia watu wa emergency medicine wakuwepo na walijaribu kumweka kwenye helicopter lakini hakuweza kuingia kutokana na urefu wake...Walimkimbiza na ambulance kumpeleka hospitali...



Lamar alikuwa ameoa kwenye familia maarufu sana ya Kardashians...Waliachana na mke wake Khloe muda si mrefu lakini mke huyo wa zamani yuko nae hospitalini na anamwombea apone...Max Sports tunamwombea Lamar apone haraka...Bofya hapa upate habari zaidi.

1 comment:

  1. Natural herbs have cured so many illness that drugs and injection can’t cure. I've seen the great importance of natural herbs and the wonderful work they have done in people's lives. i read people's testimonies online on how they were cured of HERPES, HIV, diabetics etc by Dr Edes herbal medicine, so i decided to contact the doctor because i know nature has the power to heal anything. I was diagnosed with Herpes for the past 3 years but Dr Edes cured me with his herbs and i referred my aunt and her husband to him immediately because they were both suffering from Herpes but to God be the glory, they were cured too .I know is hard to believe but am a living testimony. There is no harm trying herbs, Thanks. Write him on WhatsApp on +2348151937428. @dr_edes_remedies deals with
    (1)Alzheimer virus
    (2)Cancer
    (3)HIV
    (4)Herpes
    (5)Genital warts
    (6)ALS
    (7)Virginal infection
    (8)HPV
    (9)Hepatitis
    (10)Asthma
    Email him on dredeshome@gmail.com
    https://dredesherbalhome.weebly.com/product-order.html
    https://bit.ly/2YMklxZ

    ReplyDelete