Thursday 8 October 2015

RUGBY WORLD CUP 2015: HABANA AFIKIA REKODI YA LOMU YA 15 TRIES


Bryan Habana amefikia rekoti ya kufunga ya Jonah Lomu ya tries 15...Habana aliweza kupata hat-trick kwenye game ambayo South Africa waliwagaragaza vibaya Marekani...Springbok sasa wanaongoza Pool B walikwa na points 16 wakufuatiwa na Scotland wenye points 10...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment