Friday 16 October 2015

ROTARY MARATHON 2015: ZAIDI YA SHILING BILIONI 1 ZAPATIKANA


Mdau wa Max Sports wakili maarufu Anthony Mark akiwa amemaliza 21km

Rotary Club 6 za Dar es Salaam wakishirikiana na wafadhili wengine wameweza kupata zaini ya Shilingi bilioni 1 ambazo zitaenda kusaidia kujenga sehemu ya matibabu hapa jijini Dar...Rotary Marathon ilifadhiliwa na Bank M pamoja na wadau wengine na mgeni rasmi alikuwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi...

 
Mdau wa Max Sports mjasiriamali Evans Nyeme (Wa 3 kushoto)

Wadau walioweza kuhuthuria walikuwa zaidi ya 13,000 wakiwemo wadau wa Max Sports, watoto, wakina mama, na wasiojiweza...Mzee Mwinyi amesema juhudi za Rotary za kusaidia jamii lazima zijulikane na pia yeye amehudhuria marathon toka 2009 na amesema marathon imesaidia kuimarisha maisha ya wakazi wengi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment