Sunday 25 October 2015

AC MILAN: DOGO WA MIAKA 16 ACHEZA KWA MARA YA KWANZA


Kocha wa AC Milan, Sinisa Mihajlovic, aliamua kumchezesha dogo, Donnarumma, mwenye umri wa miaka 16 baada ya kuona hawapati ushindi katima mechi 3 za awali...Dogo huyo alicheza game kati ta AC Milan na Sassuolo...AC Milan sasa wamepanda nafasi ya 10...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment