Thursday 8 October 2015

FIFA: BLATTER NA PLATINI WASIMAMISHWA



Kamati ya nidhamu imewasimamisha Sepp Blatter, Michel Platini na Jerome Valcke kwa muda wa siku 90...Blatter ni rais wa FIFA, Platini ni makamu rais na Valcke ni katibu na wamesimamishwa kutokana na contract ambayo haikuisaidia FIFA na pia pesa kiasi cha milioni 1.32 pounds za Uingereza alizopokea Platini kutoka kwa Blatter...FIFA pia wamemsimamisha makamu rais wa zamani Chung-Mong joon miaka 6... 


Issa Hayatou ambaye ni rais wa CAF atakuwa rais wa muda wa FIFA na amesema hato ingia kwenye kinyanganyiro cha kutafuta rais mpya wa FIFA...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment