Monday 19 October 2015

EPL: NEW CASTLE YAONA MWEZI YAMCHAPA NORWICH 6-2


New Castle hatimaye wameweza kufunga na wamefunga kwa mabao kibao...Georginio Wijnaldum alekuwa star wa mchezo baada ya kupachika mabao 4 kati ya mabao 6 waliofungwa Norwich...



New Castle ndio wanapata ushindi wao kwanza kabisa msimu huu na wametoka eneo la hatari kwenye msimamo wa ligi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment