Thursday 8 October 2015

TFF: MKWASA ASAINI MKATABA MPYA



Boniface Mkwasa amesaini mkataba mpya na TFF wa mwaka mmoja na nusu...Mkwasa akichukuliwa na TFF kuisaidia timu ya taifa baada ya TFF kuachana na Marj Nooij...Jamal Malinzi, Rais wa TFF, amesema Mkwasa atalipwa vizuri kama Nooij na inabidi ainue vipaji vipya hasa vijana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment