Friday 30 October 2015

TANZANIA SWIMMING ASSOCIATION: TIMU YA SMWIMMING ITAENDA MICHUANO YA ZONE 3



TSA wamesema watapeleka timu ya swimmers kwenye michuano ya Zone III Invitational International Championship ambayo yanatarajiwa kuanza December 11 mpaka 13 jijini Kampala Uganda...Pamoja na kuhudhuria michuano hiyo pia ni muhimu sana kwa matayarisho ya Olympics za mwaka 2016 Rio de Janeiro...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment