Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 11 October 2015
CHINA OPEN FINAL: DJOKOVIC AMCHAKAZA NADAL
Novak Djokovic amechukua ubingwa wa ATP China Open kwa mara ya 6...Djokovic alifanya hivyo baada ya kumchapa vibaya sana mkongwe wa clay court Rafa Nadal 6-2 6-2...Kwa upande wa wanawake Gabrine Muguruza alishinda kwa kumchapa Timea Bacsinszky katika fainali ya WTA...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment