Sunday 11 October 2015

CHINA OPEN FINAL: DJOKOVIC AMCHAKAZA NADAL


Novak Djokovic amechukua ubingwa wa ATP China Open kwa mara ya 6...Djokovic alifanya hivyo baada ya kumchapa vibaya sana mkongwe wa clay court Rafa Nadal 6-2 6-2...Kwa upande wa wanawake Gabrine Muguruza alishinda kwa kumchapa Timea Bacsinszky katika fainali ya WTA...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment